Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nanyi pia mnapaswa kusema, ‘Tazama, mtumishi wako Yakobo yuko nyuma yetu.’”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda nikamtuliza kwa zawadi inayoenda mbele yangu,+ na baadaye mimi nitaona uso wake. Labda atanipokea kwa fadhili.”+

  • 2 Samweli 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Daudi alipokuwa amevuka mbele kidogo ya kile kilele,+ tazama, Siba+ mtumishi wa Mefiboshethi+ alikuwa akija kumpokea, akiwa na punda wawili+ waliotandikwa, na juu yao kulikuwa na mikate+ mia mbili na keki mia moja za zabibu kavu+ na mizigo mia moja ya matunda ya wakati wa kiangazi+ na mtungi mkubwa wa divai.+

  • Methali 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zawadi ya mwanadamu itamfungulia nafasi kubwa,+ nayo itamwongoza hata mbele ya watu wakuu.+

  • Methali 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Watu wengi huutuliza uso wa mtu mwenye cheo,+ na kila mtu ni rafiki yake anayetoa zawadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki