1 Samweli 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yese akamwambia Daudi mwana wake: “Tafadhali, wapelekee ndugu zako hii efa ya nafaka iliyochomwa+ na hii mikate kumi, uwapelekee ndugu zako haraka kambini. 2 Samweli 17:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 wakaleta vitanda na beseni na vyombo vya mfinyanzi, na ngano na shayiri na unga+ na nafaka iliyochomwa+ na maharagwe mapana+ na dengu+ na nafaka iliyokauka;
17 Ndipo Yese akamwambia Daudi mwana wake: “Tafadhali, wapelekee ndugu zako hii efa ya nafaka iliyochomwa+ na hii mikate kumi, uwapelekee ndugu zako haraka kambini.
28 wakaleta vitanda na beseni na vyombo vya mfinyanzi, na ngano na shayiri na unga+ na nafaka iliyochomwa+ na maharagwe mapana+ na dengu+ na nafaka iliyokauka;