14 Boazi akamwambia walipokuwa wakila: “Karibia hapa, ule baadhi ya mikate+ na kuchovya kipande chako katika siki.” Basi akaketi kando ya wavunaji. Boazi alikuwa akimpatia nafaka zilizochomwa+ ale. Akala, akatosheka, na tena akabakiza.
18 Mara moja Abigaili+ akafanya haraka, akachukua mikate mia mbili na mitungi miwili mikubwa ya divai+ na kondoo watano+ na vipimo vitano vya sea vya nafaka iliyochomwa+ na keki mia moja za zabibu kavu+ na keki mia mbili za tini zilizoshinikizwa,+ akazipakia juu ya punda.
28 wakaleta vitanda na beseni na vyombo vya mfinyanzi, na ngano na shayiri na unga+ na nafaka iliyochomwa+ na maharagwe mapana+ na dengu+ na nafaka iliyokauka;