Mwanzo 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Abrahamu akafanya haraka kwenda katika hema alimokuwa Sara, akasema: “Fanya haraka! Chukua vipimo vitatu vya sea vya unga laini, ukande donge na kuoka keki za mviringo.”+ 1 Samweli 28:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenoneshwa+ nyumbani. Kwa hiyo akamchinja haraka,+ akachukua unga, akaukanda na kuoka keki zisizo na chachu.
6 Kwa hiyo Abrahamu akafanya haraka kwenda katika hema alimokuwa Sara, akasema: “Fanya haraka! Chukua vipimo vitatu vya sea vya unga laini, ukande donge na kuoka keki za mviringo.”+
24 Basi yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenoneshwa+ nyumbani. Kwa hiyo akamchinja haraka,+ akachukua unga, akaukanda na kuoka keki zisizo na chachu.