15 “Ila wakati wowote ambapo nafsi yako inatamani, unaweza kuchinja,+ nawe utakula nyama kulingana na baraka ya Yehova Mungu wako ambayo amekupa wewe, ndani ya malango yako yote. Asiye safi+ pamoja na aliye safi wataweza kula, kama swala na kama paa.+