Mwanzo 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Abrahamu akakimbia kwenye mifugo akachukua ng’ombe-dume mchanga, mzuri na mwororo akampa mtumishi, naye akafanya haraka kumtayarisha.+ Luka 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nanyi leteni ng’ombe-dume mchanga aliyenoneshwa,+ mchinjeni na tule na kujifurahisha,
7 Kisha Abrahamu akakimbia kwenye mifugo akachukua ng’ombe-dume mchanga, mzuri na mwororo akampa mtumishi, naye akafanya haraka kumtayarisha.+