Mathayo 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tena akawatuma watumwa wengine,+ akisema, ‘Waambieni wale walioalikwa: “Tazama! Nimetayarisha chakula changu cha mchana,+ ng’ombe-dume wangu na wanyama waliononeshwa wamechinjwa, na vitu vyote viko tayari. Njooni kwenye karamu ya ndoa.” ’+
4 Tena akawatuma watumwa wengine,+ akisema, ‘Waambieni wale walioalikwa: “Tazama! Nimetayarisha chakula changu cha mchana,+ ng’ombe-dume wangu na wanyama waliononeshwa wamechinjwa, na vitu vyote viko tayari. Njooni kwenye karamu ya ndoa.” ’+