-
Mathayo 22:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Tena akawatuma watumwa wengine, akasema, ‘Waambieni wale walioalikwa: “Tazameni! Nimetayarisha chakula changu cha mchana, ng’ombe dume wangu na wanyama waliononeshwa wamechinjwa, na vitu vyote viko tayari. Njooni kwenye karamu ya ndoa.”’
-
-
Mathayo 22:4Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
4 Tena akatuma watumwa wengine, akisema, ‘Waambie wale walioalikwa: “Tazama! Nimetayarisha mlo-mkuu wangu, mafahali wangu na wanyama waliononeshwa wamechinjwa, na vitu vyote viko tayari. Njoni kwenye karamu ya ndoa.”’
-