-
2 Samweli 16:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Daudi alipokuwa amevuka mbele kidogo ya kile kilele,+ tazama, Siba+ mtumishi wa Mefiboshethi+ alikuwa akija kumpokea, akiwa na punda wawili+ waliotandikwa, na juu yao kulikuwa na mikate+ mia mbili na keki mia moja za zabibu kavu+ na mizigo mia moja ya matunda ya wakati wa kiangazi+ na mtungi mkubwa wa divai.+
-