10 Na kwa habari yangu, tazama, ninakaa katika Mispa,+ ili kusimama mbele ya Wakaldayo watakaokuja kwetu. Nanyi kusanyeni divai+ na matunda ya wakati wa kiangazi na mafuta na mviweke katika vyombo vyenu na mkae katika majiji yenu ambayo mmeyateka.”
7Ole wangu,+ kwa maana nimekuwa kama mkusanyo wa matunda ya wakati wa kiangazi, kama masalio ya mkusanyo wa zabibu!+ Hakuna kishada cha zabibu za kula, hakuna tini ya mapema, ambayo nafsi yangu inaweza kutamani!+