6 Na lazima ndani yake pabaki masalio kama kunapokuwa na upigaji wa mzeituni: zeituni mbili au tatu zilizoiva juu ya tawi; nne au tano juu ya matawi yanayozaa matunda hapo,” asema Yehova Mungu wa Israeli.+
13 Kwa maana itakuwa hivyo katikati ya nchi, katikati ya vikundi vya watu, kama kupigwa kwa mzeituni,+ kama masalio wakati ukusanyaji wa zabibu umemalizika.+
9 Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bila shaka wataokota mabaki ya Israeli kama mzabibu.+ Rudisha mkono wako nyuma kama mtu anayekusanya zabibu juu ya vikonyo vya mzabibu.”