Isaya 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni masalio tu yatakayobaki,Kama mzeituni unapopigwa: Ni zeituni mbili au tatu tu zilizoiva zinazobaki kwenye tawi refu zaidi,Ni nne au tano tu kwenye matawi yanayozaa matunda,”+ asema Yehova Mungu wa Israeli. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 17:6 ip-1 196 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:6 Unabii wa Isaya 1, uku. 196
6 Ni masalio tu yatakayobaki,Kama mzeituni unapopigwa: Ni zeituni mbili au tatu tu zilizoiva zinazobaki kwenye tawi refu zaidi,Ni nne au tano tu kwenye matawi yanayozaa matunda,”+ asema Yehova Mungu wa Israeli.