27 Yehova atawatawanya miongoni mwa mataifa,+ na ni watu wachache tu kati yenu watakaookoka+ miongoni mwa mataifa ambayo Yehova atawafukuza ninyi mwende miongoni mwao.
20 “Unapoupiga mzeituni ili kuangusha zeituni, hupaswi kurudia kufanya hivyo kwenye matawi yake. Matunda yanayobaki utamwachia mkaaji mgeni, yatima, na mjane.+