10 Pia, msikusanye masalio ya mashamba yenu ya mizabibu wala msiokote zabibu zilizoanguka chini. Waachieni maskini*+ na wageni. Mimi ni Yehova Mungu wenu.
13 Kisha utasema hivi mbele za Yehova Mungu wako: ‘Nimeondoa sehemu takatifu kutoka katika nyumba yangu na kumpa Mlawi, mkaaji mgeni, yatima, na mjane,+ kama ulivyoniamuru. Sijavunja wala kupuuza amri zako.