Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+

  • Isaya 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na itatukia kwamba mvunaji anapokusanya nafaka inayosimama na mkono wake unapovuna masuke ya nafaka,+ atakuwa kama mtu anayeokota masalio ya masuke ya nafaka katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+

  • Yeremia 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bila shaka wataokota mabaki ya Israeli kama mzabibu.+ Rudisha mkono wako nyuma kama mtu anayekusanya zabibu juu ya vikonyo vya mzabibu.”

  • Ezekieli 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘ “Na wakati hilo litakapotukia nitawaruhusu muwe na mabaki wale watakaouponyoka upanga kati ya mataifa, wakati mtakapotawanywa kati ya nchi mbalimbali.+

  • Mika 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ole wangu,+ kwa maana nimekuwa kama mkusanyo wa matunda ya wakati wa kiangazi, kama masalio ya mkusanyo wa zabibu!+ Hakuna kishada cha zabibu za kula, hakuna tini ya mapema, ambayo nafsi yangu inaweza kutamani!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki