5 Na itatukia kwamba mvunaji anapokusanya nafaka inayosimama na mkono wake unapovuna masuke ya nafaka,+ atakuwa kama mtu anayeokota masalio ya masuke ya nafaka katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+
9 Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bila shaka wataokota mabaki ya Israeli kama mzabibu.+ Rudisha mkono wako nyuma kama mtu anayekusanya zabibu juu ya vikonyo vya mzabibu.”
8 “ ‘ “Na wakati hilo litakapotukia nitawaruhusu muwe na mabaki wale watakaouponyoka upanga kati ya mataifa, wakati mtakapotawanywa kati ya nchi mbalimbali.+
7Ole wangu,+ kwa maana nimekuwa kama mkusanyo wa matunda ya wakati wa kiangazi, kama masalio ya mkusanyo wa zabibu!+ Hakuna kishada cha zabibu za kula, hakuna tini ya mapema, ambayo nafsi yangu inaweza kutamani!+