13 Kwa maana itakuwa hivyo katikati ya nchi, katikati ya vikundi vya watu, kama kupigwa kwa mzeituni,+ kama masalio wakati ukusanyaji wa zabibu umemalizika.+
9 Ikiwa wakusanya-zabibu wangeingia kwako, je, hawangeacha masalio fulani? Ikiwa wezi wangekuja wakati wa usiku, hakika wangefanya uharibifu kiasi kile tu ambacho wangetosheka nacho.+