Obadia 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Ikiwa wezi ndio wangekuja kwako, ikiwa waporaji wangekuja wakati wa usiku, ungenyamazishwa kwa kadiri gani?+ Je, hawangeiba kadiri wanavyotaka? Au ikiwa wakusanya-zabibu ndio wangekuja kwako, je, hawangeacha masalio fulani?+
5 “Ikiwa wezi ndio wangekuja kwako, ikiwa waporaji wangekuja wakati wa usiku, ungenyamazishwa kwa kadiri gani?+ Je, hawangeiba kadiri wanavyotaka? Au ikiwa wakusanya-zabibu ndio wangekuja kwako, je, hawangeacha masalio fulani?+