Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Ikiwa utakusanya zabibu za shamba lako la mizabibu, hupaswi kurudi na kukusanya masalio tena. Yatabaki hivyo kwa ajili ya mkaaji mgeni, kwa ajili ya mvulana asiye na baba na kwa ajili ya mjane.

  • Isaya 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na lazima ndani yake pabaki masalio kama kunapokuwa na upigaji wa mzeituni: zeituni mbili au tatu zilizoiva juu ya tawi; nne au tano juu ya matawi yanayozaa matunda hapo,” asema Yehova Mungu wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki