Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Yehova atawatawanya ninyi katikati ya watu,+ nanyi mtabaki hesabu chache+ katikati ya mataifa ambayo Yehova atayafukuzia mbali.

  • Kumbukumbu la Torati 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ikiwa utachuma mzeituni wako, usipitie matawi yake tena. Huo wapaswa kukaa hivyo kwa ajili ya mkaaji mgeni, kwa ajili ya mvulana asiye na baba na kwa ajili ya mjane.+

  • Waamuzi 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwishowe akawaambia: “Basi mimi nimefanya nini kwa kulinganishwa nanyi?+ Je, masalio ya Efraimu+ si bora kuliko ukusanyaji wa zabibu wa Abiezeri?+

  • Isaya 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana itakuwa hivyo katikati ya nchi, katikati ya vikundi vya watu, kama kupigwa kwa mzeituni,+ kama masalio wakati ukusanyaji wa zabibu umemalizika.+

  • Waroma 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Zaidi ya hayo, Isaya anapaaza sauti kuhusu Israeli: “Ijapokuwa hesabu ya wana wa Israeli huenda ikawa kama mchanga wa bahari,+ ni mabaki watakaookolewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki