Methali 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Moyo wa mwadilifu hutafakari ili kujibu,+ lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.+ Wafilipi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi, 2 Timotheo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+
3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi,
24 Lakini mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana,+ bali anahitaji kuwa mpole kwa wote,+ mwenye sifa za kustahili kufundisha,+ akiendelea kujizuia chini ya uovu,+