Methali 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana moyo wao huendelea kutafakari juu ya uporaji, nayo midomo yao huendelea kuongea juu ya matata.+ Tito 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kuna watu wengi watundu, wanaoongea maneno yasiyo na faida,+ na wanaodanganya akili za watu, hasa watu wale ambao hushikamana na tohara.+ 2 Petro 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.
2 Kwa maana moyo wao huendelea kutafakari juu ya uporaji, nayo midomo yao huendelea kuongea juu ya matata.+
10 Kwa maana kuna watu wengi watundu, wanaoongea maneno yasiyo na faida,+ na wanaodanganya akili za watu, hasa watu wale ambao hushikamana na tohara.+
18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.