Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana moyo wao huendelea kutafakari juu ya uporaji, nayo midomo yao huendelea kuongea juu ya matata.+

  • Tito 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kuna watu wengi watundu, wanaoongea maneno yasiyo na faida,+ na wanaodanganya akili za watu, hasa watu wale ambao hushikamana na tohara.+

  • 2 Petro 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki