Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye Daudi akaja kujua kwamba Sauli alikuwa akitunga madhara+ juu yake. Basi akamwambia Abiathari kuhani: “Ilete efodi hapa.”+

  • Zaburi 38:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+

      Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+

      Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+

  • Methali 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+

  • Methali 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Moyo wa mwadilifu hutafakari ili kujibu,+ lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.+

  • Mathayo 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki