1 Samweli 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Daudi akaja kujua kwamba Sauli alikuwa akitunga madhara+ juu yake. Basi akamwambia Abiathari kuhani: “Ilete efodi hapa.”+ Zaburi 38:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+ Methali 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+ Methali 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Moyo wa mwadilifu hutafakari ili kujibu,+ lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.+ Mathayo 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.
9 Naye Daudi akaja kujua kwamba Sauli alikuwa akitunga madhara+ juu yake. Basi akamwambia Abiathari kuhani: “Ilete efodi hapa.”+
12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+
11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+