Zaburi 35:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hawasemi mambo ya amani;+Bali juu ya wanyamavu wa duniaWanaendelea kupanga mambo ya udanganyifu.+ Methali 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana moyo wao huendelea kutafakari juu ya uporaji, nayo midomo yao huendelea kuongea juu ya matata.+
20 Kwa maana hawasemi mambo ya amani;+Bali juu ya wanyamavu wa duniaWanaendelea kupanga mambo ya udanganyifu.+
2 Kwa maana moyo wao huendelea kutafakari juu ya uporaji, nayo midomo yao huendelea kuongea juu ya matata.+