Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana nimeisikia habari mbaya kutoka kwa wengi,+

      Pande zote kukiwa na woga.+

      Wanapoungana kama kitu kimoja dhidi yangu,+

      Wanapanga hila ili kuiondoa nafsi yangu.+

  • Yeremia 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nilikuwa kama mwana-kondoo dume, mtulivu, ambaye huletwa machinjioni,+ nami sikujua kwamba walipanga hila juu yangu:+ “Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali kutoka katika nchi ya walio hai,+ ili jina lake lisikumbukwe tena.”

  • Mathayo 12:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Waliposikia hilo, Mafarisayo wakasema: “Mtu huyu hatoi roho waovu ila kwa nguvu za Beelzebuli, mtawala wa roho waovu.”+

  • 1 Petro 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yeye hakufanya dhambi,+ wala udanganyifu haukupatikana kinywani mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki