Yeremia 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nilikuwa kama mwanakondoo mtulivu anayepelekwa machinjioni. Sikujua kwamba walikuwa wakipanga njama dhidi yangu:+ “Na tuuangamize ule mti na matunda yake,Na tumkate kabisa kutoka kwenye nchi ya walio hai,Ili jina lake lisikumbukwe kamwe.”
19 Nilikuwa kama mwanakondoo mtulivu anayepelekwa machinjioni. Sikujua kwamba walikuwa wakipanga njama dhidi yangu:+ “Na tuuangamize ule mti na matunda yake,Na tumkate kabisa kutoka kwenye nchi ya walio hai,Ili jina lake lisikumbukwe kamwe.”