Zaburi 57:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+ Yeremia 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Usiende nje shambani, wala usitembee njiani; kwa maana kuna upanga wa adui, kuna woga pande zote.+
4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+
25 Usiende nje shambani, wala usitembee njiani; kwa maana kuna upanga wa adui, kuna woga pande zote.+