Yeremia 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu+ hawa na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ na upanga umefika mpaka kwenye nafsi.” Yeremia 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini ikawa kesho yake kwamba Pashuri akamtoa Yeremia katika ile mikatale,+ na sasa Yeremia akamwambia: “Yehova amekuita jina lako,+ si Pashuri, bali Hofu pande zote.+
10 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu+ hawa na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ na upanga umefika mpaka kwenye nafsi.”
3 Lakini ikawa kesho yake kwamba Pashuri akamtoa Yeremia katika ile mikatale,+ na sasa Yeremia akamwambia: “Yehova amekuita jina lako,+ si Pashuri, bali Hofu pande zote.+