Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana nimeisikia habari mbaya kutoka kwa wengi,+

      Pande zote kukiwa na woga.+

      Wanapoungana kama kitu kimoja dhidi yangu,+

      Wanapanga hila ili kuiondoa nafsi yangu.+

  • Yeremia 6:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Usiende nje shambani, wala usitembee njiani; kwa maana kuna upanga wa adui, kuna woga pande zote.+

  • Yeremia 46:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Kwa nini nimewaona wakiwa wameingiwa na hofu? Wanarudi nyuma, na wanaume wao wenye nguvu wamevunjwa vipande-vipande; nao hakika wamekimbia, wala hawakugeuka.+ Kuna hofu pande zote,’+ asema Yehova.

  • Yeremia 49:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mahema+ yao na makundi+ yao yatachukuliwa, vitambaa vyao vya mahema+ na vyombo vyao vyote. Na ngamia+ zao watachukuliwa kutoka kwao. Na hakika wao watawalilia, ‘Kuna hofu pande zote!’”+

  • Maombolezo 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Umeyaita makao yangu ya kigeni kuzunguka pande zote kama katika siku ya sherehe.+

      Na katika siku ya ghadhabu ya Yehova hapakuwa na yeyote mwenye kuponyoka wala mwenye kuokoka;+

      Wale ambao nilizaa wakiwa wamekomaa na kuwalea, adui yangu aliwaangamiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki