5 “‘Kwa nini nimewaona wakiwa wameingiwa na hofu? Wanarudi nyuma, na wanaume wao wenye nguvu wamevunjwa vipande-vipande; nao hakika wamekimbia, wala hawakugeuka.+ Kuna hofu pande zote,’+ asema Yehova.
29 Mahema+ yao na makundi+ yao yatachukuliwa, vitambaa vyao vya mahema+ na vyombo vyao vyote. Na ngamia+ zao watachukuliwa kutoka kwao. Na hakika wao watawalilia, ‘Kuna hofu pande zote!’”+