Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Katika siku hiyo Misri itakuwa kama wanawake, nayo hakika itatetemeka+ na kuingiwa na hofu kwa sababu ya kutikiswa kwa mkono wa Yehova wa majeshi ambao anautikisa juu yake.+

  • Yeremia 6:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Usiende nje shambani, wala usitembee njiani; kwa maana kuna upanga wa adui, kuna woga pande zote.+

  • Yeremia 49:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mahema+ yao na makundi+ yao yatachukuliwa, vitambaa vyao vya mahema+ na vyombo vyao vyote. Na ngamia+ zao watachukuliwa kutoka kwao. Na hakika wao watawalilia, ‘Kuna hofu pande zote!’”+

  • Ezekieli 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nitafanya vikundi vingi vya watu waingiwe na hofu+ kwa sababu yako, na wafalme wao watatetemeka kwa hofu kwa sababu yako wakati nitakapoutikisa upanga wangu usoni pao,+ nao watatetemeka kila dakika, kila mmoja kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, katika siku ya kuanguka kwako.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki