10 Nami nitafanya vikundi vingi vya watu waingiwe na hofu+ kwa sababu yako, na wafalme wao watatetemeka kwa hofu kwa sababu yako wakati nitakapoutikisa upanga wangu usoni pao,+ nao watatetemeka kila dakika, kila mmoja kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, katika siku ya kuanguka kwako.’+