Zaburi 31:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana nimeisikia habari mbaya kutoka kwa wengi,+Pande zote kukiwa na woga.+Wanapoungana kama kitu kimoja dhidi yangu,+Wanapanga hila ili kuiondoa nafsi yangu.+ Yeremia 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Usiende nje shambani, wala usitembee njiani; kwa maana kuna upanga wa adui, kuna woga pande zote.+ Yeremia 46:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Kwa nini nimewaona wakiwa wameingiwa na hofu? Wanarudi nyuma, na wanaume wao wenye nguvu wamevunjwa vipande-vipande; nao hakika wamekimbia, wala hawakugeuka.+ Kuna hofu pande zote,’+ asema Yehova.
13 Kwa maana nimeisikia habari mbaya kutoka kwa wengi,+Pande zote kukiwa na woga.+Wanapoungana kama kitu kimoja dhidi yangu,+Wanapanga hila ili kuiondoa nafsi yangu.+
25 Usiende nje shambani, wala usitembee njiani; kwa maana kuna upanga wa adui, kuna woga pande zote.+
5 “‘Kwa nini nimewaona wakiwa wameingiwa na hofu? Wanarudi nyuma, na wanaume wao wenye nguvu wamevunjwa vipande-vipande; nao hakika wamekimbia, wala hawakugeuka.+ Kuna hofu pande zote,’+ asema Yehova.