Isaya 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kungali ni mchana kutua Nobu.+ Yeye anatikisa mkono wake kwa kutishia mlima wa binti Sayuni, kilima cha Yerusalemu.+ Isaya 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yehova hakika ataukata ulimi wa bahari ya Misri,+ na kuutikisa mkono wake juu ya Mto+ katika mng’ao wa roho yake. Naye ataupiga katika mito yake saba, naye atawafanya watu watembee wakiwa wamevaa viatu vyao.+ Zekaria 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Maana tazama, ninatikisa mkono wangu juu yao,+ nao watakuwa nyara kwa watumwa wao.’+ Nanyi mtajua ya kwamba Yehova wa majeshi amenituma mimi.+
32 Kungali ni mchana kutua Nobu.+ Yeye anatikisa mkono wake kwa kutishia mlima wa binti Sayuni, kilima cha Yerusalemu.+
15 Na Yehova hakika ataukata ulimi wa bahari ya Misri,+ na kuutikisa mkono wake juu ya Mto+ katika mng’ao wa roho yake. Naye ataupiga katika mito yake saba, naye atawafanya watu watembee wakiwa wamevaa viatu vyao.+
9 Maana tazama, ninatikisa mkono wangu juu yao,+ nao watakuwa nyara kwa watumwa wao.’+ Nanyi mtajua ya kwamba Yehova wa majeshi amenituma mimi.+