2 Wafalme 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova amesema neno hili juu yake:“Bikira, binti Sayuni, amekudharau,+ amekudhihaki.+Binti Yerusalemu+ ametikisa kichwa+chake nyuma yako. Zaburi 132:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amechagua Sayuni;+Amepatamani pawe makao kwa ajili yake mwenyewe:+ Isaya 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi: “Msiogope, enyi watu wangu mnaokaa katika Sayuni,+ kwa sababu ya Mwashuru, aliyekuwa akiwapiga kwa fimbo+ na aliyekuwa akiinua fimbo yake juu yenu kama Misri alivyofanya.+
21 Yehova amesema neno hili juu yake:“Bikira, binti Sayuni, amekudharau,+ amekudhihaki.+Binti Yerusalemu+ ametikisa kichwa+chake nyuma yako.
24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi: “Msiogope, enyi watu wangu mnaokaa katika Sayuni,+ kwa sababu ya Mwashuru, aliyekuwa akiwapiga kwa fimbo+ na aliyekuwa akiinua fimbo yake juu yenu kama Misri alivyofanya.+