Maombolezo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova ametupa kutoka katikati yangu watu wangu wote wenye nguvu.+Ameitisha mkutano juu yangu, ili kuvunja vipande-vipande vijana wangu.+Yehova amekanyaga shinikizo la divai+ la binti Yuda aliye bikira.+ Maombolezo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+ Mika 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wewe nawe, Ee mnara wa kundi, kilima cha binti Sayuni,+ mpaka kwako itakuja, ndiyo, mamlaka ya kwanza itakuja hakika,+ ufalme wa binti Yerusalemu.+ Zekaria 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Shangilia sana, Ee binti Sayuni.+ Piga kelele za ushindi,+ Ee binti Yerusalemu. Tazama! mfalme+ wako anakuja kwako.+ Yeye ni mwadilifu, ndiyo, ameokolewa;+ ni mnyenyekevu,+ naye amepanda juu ya punda, juu ya mnyama mkomavu, mwana wa punda-jike.+
15 Yehova ametupa kutoka katikati yangu watu wangu wote wenye nguvu.+Ameitisha mkutano juu yangu, ili kuvunja vipande-vipande vijana wangu.+Yehova amekanyaga shinikizo la divai+ la binti Yuda aliye bikira.+
13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+
8 “Wewe nawe, Ee mnara wa kundi, kilima cha binti Sayuni,+ mpaka kwako itakuja, ndiyo, mamlaka ya kwanza itakuja hakika,+ ufalme wa binti Yerusalemu.+
9 “Shangilia sana, Ee binti Sayuni.+ Piga kelele za ushindi,+ Ee binti Yerusalemu. Tazama! mfalme+ wako anakuja kwako.+ Yeye ni mwadilifu, ndiyo, ameokolewa;+ ni mnyenyekevu,+ naye amepanda juu ya punda, juu ya mnyama mkomavu, mwana wa punda-jike.+