Ayubu 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mimi mwenyewe pia naweza kusema kama ninyi mnavyosema.Laiti nafsi zenu zingekuwa mahali ilipo nafsi yangu,Je, ningeng’aa kwa maneno juu yenu,+Na je, ningetikisa kichwa changu juu yenu?+ Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+ Zaburi 109:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kwao mimi nimekuwa kitu cha kushutumiwa.+Wananiona—wanaanza kutikisa kichwa chao.+ Mathayo 27:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo wapita-njia wakaanza kumtukana,+ wakitikisa+ vichwa vyao
4 Mimi mwenyewe pia naweza kusema kama ninyi mnavyosema.Laiti nafsi zenu zingekuwa mahali ilipo nafsi yangu,Je, ningeng’aa kwa maneno juu yenu,+Na je, ningetikisa kichwa changu juu yenu?+
7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+