Luka 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa mfano, atatiwa mikononi mwa watu wa mataifa naye atadhihakiwa+ na kutendewa kwa dharau+ na kutemewa mate;+ Waebrania 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa kweli, mfikirieni sana yeye ambaye amevumilia maneno ya aina hii yenye kupinga+ yanayotolewa na watenda-dhambi kinyume cha faida zao wenyewe, ili ninyi msichoke na kuzimia katika nafsi zenu.+
32 Kwa mfano, atatiwa mikononi mwa watu wa mataifa naye atadhihakiwa+ na kutendewa kwa dharau+ na kutemewa mate;+
3 Kwa kweli, mfikirieni sana yeye ambaye amevumilia maneno ya aina hii yenye kupinga+ yanayotolewa na watenda-dhambi kinyume cha faida zao wenyewe, ili ninyi msichoke na kuzimia katika nafsi zenu.+