Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+ Mathayo 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, baada ya kumfunga, wakampeleka na kumtia mkononi mwa gavana Pilato.+ Matendo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+
7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+
13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+