Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+

      Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+

  • Mathayo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu.

  • Mathayo 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+

  • Luka 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa Mafarisayo, waliokuwa wapenda-pesa, walikuwa wakisikiliza mambo yote hayo, nao wakaanza kumcheka kwa dharau.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki