Zaburi 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+ Mathayo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu. Mathayo 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+ Luka 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa Mafarisayo, waliokuwa wapenda-pesa, walikuwa wakisikiliza mambo yote hayo, nao wakaanza kumcheka kwa dharau.+
16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+
11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu.
24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+
14 Sasa Mafarisayo, waliokuwa wapenda-pesa, walikuwa wakisikiliza mambo yote hayo, nao wakaanza kumcheka kwa dharau.+