Mathayo 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kwa hiyo, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi,+ lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo; hii, kwa kweli, ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+ Waroma 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Shangilieni pamoja na watu wanaoshangilia;+ lieni pamoja na watu wanaolia. 1 Petro 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe, ninyi nyote iweni na akili zinazopatana,+ mkionyesha hisia-mwenzi, mkiwa na upendo wa kindugu, wenye huruma nyororo,+ wanyenyekevu katika akili,+
12 “Kwa hiyo, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi,+ lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo; hii, kwa kweli, ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+
8 Mwishowe, ninyi nyote iweni na akili zinazopatana,+ mkionyesha hisia-mwenzi, mkiwa na upendo wa kindugu, wenye huruma nyororo,+ wanyenyekevu katika akili,+