Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+ Zaburi 109:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kwao mimi nimekuwa kitu cha kushutumiwa.+Wananiona—wanaanza kutikisa kichwa chao.+ Luka 23:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wale watu wakasimama wakitazama.+ Lakini wale watawala walikuwa wakicheka kwa dharau, wakisema:+ “Aliwaokoa wengine; mwacheni ajiokoe mwenyewe, ikiwa huyu ndiye Kristo wa Mungu, Yule Aliyechaguliwa.”+
7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+
35 Na wale watu wakasimama wakitazama.+ Lakini wale watawala walikuwa wakicheka kwa dharau, wakisema:+ “Aliwaokoa wengine; mwacheni ajiokoe mwenyewe, ikiwa huyu ndiye Kristo wa Mungu, Yule Aliyechaguliwa.”+