Mathayo 27:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 “Aliwaokoa wengine; yeye mwenyewe hawezi kujiokoa! Yeye ni Mfalme+ wa Israeli; acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso nasi tutamwamini.+ Marko 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Vivyo hivyo pia wakuu wa makuhani walikuwa wakimdhihaki katikati yao wenyewe pamoja na waandishi na kusema: “Aliwaokoa wengine; hawezi kujiokoa mwenyewe!+
42 “Aliwaokoa wengine; yeye mwenyewe hawezi kujiokoa! Yeye ni Mfalme+ wa Israeli; acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso nasi tutamwamini.+
31 Vivyo hivyo pia wakuu wa makuhani walikuwa wakimdhihaki katikati yao wenyewe pamoja na waandishi na kusema: “Aliwaokoa wengine; hawezi kujiokoa mwenyewe!+