Zaburi 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+ Waroma 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+ Waebrania 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi, acheni sisi twende kwake nje ya kambi, tukiichukua shutuma aliyoibeba,+
11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+
3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+