Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Lakini mimi ni mdudu,+ wala si mtu,

      Shutuma kwa wanadamu na mwenye kudharaulika kwa watu.+

  • Zaburi 42:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+

      Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+

  • Zaburi 102:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Adui zangu wamenishutumu mchana kutwa.+

      Wale wanaonifanya mpumbavu hata wameapa kwa jina langu.+

  • Isaya 53:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa kweli yeye mwenyewe aliyachukua magonjwa yetu;+ na kwa habari ya maumivu yetu, yeye aliyabeba.+ Lakini sisi tulimhesabu kama aliyepata mapigo,+ aliyepigwa na Mungu+ na kuteswa.+

  • Waroma 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+

  • 1 Petro 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ikiwa mnashutumiwa kwa ajili ya jina la Kristo,+ ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu ile roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki