Zaburi 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mimi ni mdudu,+ wala si mtu,Shutuma kwa wanadamu na mwenye kudharaulika kwa watu.+ Zaburi 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 102:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Adui zangu wamenishutumu mchana kutwa.+Wale wanaonifanya mpumbavu hata wameapa kwa jina langu.+ Isaya 53:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa kweli yeye mwenyewe aliyachukua magonjwa yetu;+ na kwa habari ya maumivu yetu, yeye aliyabeba.+ Lakini sisi tulimhesabu kama aliyepata mapigo,+ aliyepigwa na Mungu+ na kuteswa.+ Waroma 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+ 1 Petro 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ikiwa mnashutumiwa kwa ajili ya jina la Kristo,+ ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu ile roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.+
10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+
4 Kwa kweli yeye mwenyewe aliyachukua magonjwa yetu;+ na kwa habari ya maumivu yetu, yeye aliyabeba.+ Lakini sisi tulimhesabu kama aliyepata mapigo,+ aliyepigwa na Mungu+ na kuteswa.+
3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+
14 Ikiwa mnashutumiwa kwa ajili ya jina la Kristo,+ ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu ile roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.+