Mathayo 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ili litimizwe lile lililosemwa kupitia nabii Isaya, akisema: “Yeye mwenyewe aliyachukua magonjwa yetu na kuyachukua maradhi yetu.”+ Mathayo 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, tazama! wakamletea mtu aliyepooza akiwa amelala juu ya kitanda.+ Alipoona imani yao Yesu akamwambia yule mwenye kupooza: “Jipe moyo, mwanangu; dhambi zako zimesamehewa.”+ Mathayo 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na, tazama! mwanamke mwenye kutaabika miaka kumi na miwili kutokana na mtiririko wa damu+ akaja nyuma na kuugusa upindo wa vazi lake la nje;+ Mathayo 9:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sasa walipokuwa wakiondoka, tazama! watu wakamletea bubu aliyeingiwa na roho mwovu;+ Luka 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yesu akajibu, akawaambia: “Wale walio na afya hawahitaji tabibu,+ bali wale wanaougua ndio wanaomhitaji.+
17 ili litimizwe lile lililosemwa kupitia nabii Isaya, akisema: “Yeye mwenyewe aliyachukua magonjwa yetu na kuyachukua maradhi yetu.”+
2 Na, tazama! wakamletea mtu aliyepooza akiwa amelala juu ya kitanda.+ Alipoona imani yao Yesu akamwambia yule mwenye kupooza: “Jipe moyo, mwanangu; dhambi zako zimesamehewa.”+
20 Na, tazama! mwanamke mwenye kutaabika miaka kumi na miwili kutokana na mtiririko wa damu+ akaja nyuma na kuugusa upindo wa vazi lake la nje;+
31 Yesu akajibu, akawaambia: “Wale walio na afya hawahitaji tabibu,+ bali wale wanaougua ndio wanaomhitaji.+