Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ili litimizwe lile lililosemwa kupitia nabii Isaya, akisema: “Yeye mwenyewe aliyachukua magonjwa yetu na kuyachukua maradhi yetu.”+

  • Mathayo 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na, tazama! wakamletea mtu aliyepooza akiwa amelala juu ya kitanda.+ Alipoona imani yao Yesu akamwambia yule mwenye kupooza: “Jipe moyo, mwanangu; dhambi zako zimesamehewa.”+

  • Mathayo 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na, tazama! mwanamke mwenye kutaabika miaka kumi na miwili kutokana na mtiririko wa damu+ akaja nyuma na kuugusa upindo wa vazi lake la nje;+

  • Mathayo 9:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Sasa walipokuwa wakiondoka, tazama! watu wakamletea bubu aliyeingiwa na roho mwovu;+

  • Luka 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Yesu akajibu, akawaambia: “Wale walio na afya hawahitaji tabibu,+ bali wale wanaougua ndio wanaomhitaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki