Marko 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Yesu alipoona imani+ yao akamwambia yule mwenye kupooza: “Mwanangu, dhambi zako zimesamehewa.”+ Marko 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kumwambia mwenye kupooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, uchukue kitanda chako, utembee’?+ Luka 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye alipoona imani yao akasema: “Ewe mtu, umesamehewa dhambi zako.”+
9 Ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kumwambia mwenye kupooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, uchukue kitanda chako, utembee’?+