Isaya 53:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+ Luka 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye alipoona imani yao akasema: “Ewe mtu, umesamehewa dhambi zako.”+ Luka 7:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ndipo akamwambia mwanamke huyo: “Dhambi zako zimesamehewa.”+
11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+