Mathayo 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa mfano, ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kusema, Dhambi zako zimesamehewa, au kusema, Simama, utembee?+ Luka 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama utembee’?+
5 Kwa mfano, ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kusema, Dhambi zako zimesamehewa, au kusema, Simama, utembee?+
23 Ni jambo gani lililo rahisi zaidi, kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama utembee’?+