Mathayo 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Alipowasikia, akasema: “Watu wenye afya hawahitaji tabibu,+ bali wenye kuugua ndio wanaomhitaji. Marko 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Aliposikia hilo Yesu akawaambia: “Wale walio na nguvu hawahitaji tabibu, bali wale walio wagonjwa wanamhitaji. Nilikuja kuwaita, si watu waadilifu, bali watenda-dhambi.”+
17 Aliposikia hilo Yesu akawaambia: “Wale walio na nguvu hawahitaji tabibu, bali wale walio wagonjwa wanamhitaji. Nilikuja kuwaita, si watu waadilifu, bali watenda-dhambi.”+