Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+

      Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+

      Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+

      Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+

  • Zaburi 42:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+

      Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+

  • Zaburi 74:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+

      Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+

  • Zaburi 79:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tumekuwa shutuma kwa jirani zetu,+

      Dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+

  • Zaburi 89:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Jinsi adui zako wameshutumu, Ee Yehova,+

      Jinsi wameshutumu nyayo za mtiwa-mafuta wako.+

  • Waroma 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki