Zaburi 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+ Zaburi 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 74:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ Zaburi 79:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tumekuwa shutuma kwa jirani zetu,+Dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+ Zaburi 89:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Jinsi adui zako wameshutumu, Ee Yehova,+Jinsi wameshutumu nyayo za mtiwa-mafuta wako.+ Waroma 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+
11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+
10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+
3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+