Zaburi 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+ Mathayo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ Luka 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu.+
7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+
22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+
9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+