Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jihadharini na watu;+ kwa maana watawapeleka mahakamani,+ nao watawapiga ninyi mijeledi+ katika masinagogi yao.+

  • Yohana 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kumbukeni neno nililowaambia, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa ninyi pia;+ ikiwa wamelishika neno langu, watalishika lenu pia.

  • Matendo 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa sababu hiyo wale waliokuwa wametawanywa+ na dhiki iliyotokea kwa sababu ya Stefano wakapita kwenda mpaka Foinike+ na Kipro+ na Antiokia, lakini hawakusema lile neno kwa yeyote ila kwa Wayahudi tu.+

  • Ufunuo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki