20 Kumbukeni neno nililowaambia, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa ninyi pia;+ ikiwa wamelishika neno langu, watalishika lenu pia.
19 Kwa sababu hiyo wale waliokuwa wametawanywa+ na dhiki iliyotokea kwa sababu ya Stefano wakapita kwenda mpaka Foinike+ na Kipro+ na Antiokia, lakini hawakusema lile neno kwa yeyote ila kwa Wayahudi tu.+
10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+